

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na viongozi wengine wakishuhudia Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeho akipokea saluti baada ya kumvisha cheo cha Brigedia Jenerali (aliyekuwa Kanali) Charles Mbuge baada ya kumpandisha cheo hicho kutokana na utendaji kazi wake katika kusimamia vyema ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ya ukutua wa Mererani, majengo ya ofisi za serikali na nyumba za watumishi wa umma jijini Dodoma. Hafla hii ya ghafla imefanyika wakati wa sherehe za uzinduzi wa mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma Jumamosi Aprili 13, 2019

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na viongozi wengine wakishuhudia Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeho akimpongeza baada ya kumvisha cheo cha Brigedia Jenerali (aliyekuwa Kanali) Charles Mbuge baada ya kumpandisha cheo hicho kutokana na utendaji kazi wake katika kusimamia vyema ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ya ukutua wa Mererani, majengo ya ofisi za serikali na nyumba za watumishi wa umma jijini Dodoma. Hafla hii ya ghafla imefanyika wakati wa sherehe za uzinduzi wa mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma Jumamosi Aprili 13, 2019.

Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza kumpandisha cheo cha Brigedia Jenerali (aliyekuwa Kanali) Charles Mbuge kutokana na utendaji kazi wake katika kusimamia vyema ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ya ukutua wa Mererani, majengo ya ofisi za serikali na nyumba za watumishi wa umma jijini Dodoma. Hafla hii ya ghafla imefanyika wakati wa sherehe za uzinduzi wa mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma Jumamosi Aprili 13, 2019.

Brigedia Jenerali (aliyekuwa Kanali) Charles Mbuge akipongezwa baada ya kumpandishwa cheo hicho na Rais Dkt. Magufuli kutokana na utendaji kazi wake katika kusimamia vyema ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ya ukutua wa Mererani, majengo ya ofisi za serikali na nyumba za watumishi wa umma jijini Dodoma. Hafla hii ya ghafla imefanyika wakati wa sherehe za uzinduzi wa mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma Jumamosi Aprili 13, 2019.

Brigedia Jenerali (aliyekuwa Kanali) Charles Mbuge akipongezwa na Mama Salma Kikwete baada ya kumpandishwa cheo hicho na Rais Dkt. Magufuli kutokana na utendaji kazi wake katika kusimamia vyema ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwemo ya ukutua wa Mererani, majengo ya ofisi za serikali na nyumba za watumishi wa umma jijini Dodoma. Hafla hii ya ghafla imefanyika wakati wa sherehe za uzinduzi wa mji wa Serikali eneo la Mtumba jijini Dodoma Jumamosi Aprili 13, 2019
Toa Maoni Yako:
0 comments: